"Ccm ndicho chama pekee kitakachowakomboa wananchi wa Enguserosambu katika shida zinazowakabili hapa kijiji cha Naani Mkimchagua Shangai atawaleteeni huduma zote za kijamii Ikiwemo maji, umeme, afya,elimu na miundombinu ya barabara"
Wazari mkuu msatafu Mizengo Pinda ,Akiwa na Mbunge Wa ccm anagombea Ubunge Jimbo La Ngorongoro
0 Comments