SIMBA SC YAIKAZIA SINGIDA BIG STAR, YALAZIMISHA SARE 1-1

 


KLABU ya Simba Sc leo imeingia uwanjani kumefanyana na timu ya Singida Big Star mechi ambayo Simba Sc ikilazimisha sare ya 1-1 baada ya kusawazisha bao kipindi cha pili.

Singida Big Star walianza kupata bao kupitia kwa nyota wao Deus Kaseke akipokea krosi kutoka kwa Hamisi Ndamla katika dakika za mwazo kipindi cha kwanza.

Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye dimba la Liti Mkoani Singida, timu ya Singida Big Star ilionesha kutawala mpira kipindi cha kwanza huku wakishambulia kwa kushtukiza ndipo wakapata bao la mapema.

Simba Sc iliwapumzisha baadhi ya mastaa wake akiwemo Okra pamoja na Manula huku Kakolanya akiaminiwa langoni.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments