Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza rasmi ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini mwaka 2025, hafla iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

0 Comments