MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025

 

Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo ya goli bora la mwaka la shirikisho la soka barani Africa CAF.

Goli hilo alifunga kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika hatua ya Makundi katika dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments