Uongozi wa Ndameza Boarding Secondary inapenda kuwakaribisha wazazi na walezi wote kuandikisha watoto wao kwa ajili ya mwaka wa masomo 2026
👉 Tunatoa elimu bora yenye maadili, mwongozo wa karibu kwa mwanafunzi, na mazingira salama yanayomjenga mtoto kitaaluma na kimaadili.
👉 Walimu wetu ni wenye uzoefu na kujituma, wakihakikisha kila mtoto anafikia ndoto zake.
👉 Shule ina mazingira rafiki ya kujifunzia, chakula bora, nidhamu, michezo na shughuli za ubunifu.
📅 Usajili unaendelea sasa!
📍 Tembelea shule yetu au wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kupitia:
📞 Simu: 0769104401
📬 Anwani: Anwani ya shule P.O.BOX 634 KIGOMA

0 Comments