Taarifa ya Ikulu iliyotolewa leo Jumanne Februari Mosi 2022 imesema kuwa Zuhura anachukua nafasi ya Jaffar Haniuambaye atapangiwa majukumu mengine.
Taarifa hiyo imesema “Uteuzi huo umeanza Januari 30, 2022”
Hivi karibuni, Zuhura ambaye amepata umaarufu kupitia kipindi cha Dira ya Dunia cha BBC alitangaza mpango wake wa kuachana na shirika hilo na kuendelea na uandishi na mambo mengine nje ya BBC.
Taarifa ya Zuhura kuondoka BBC zilikuja miezi kadhaa baada ya kuandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Mtangazaji huyo aliyejiunga na BBC mwaka wa 2008
0 Comments