Wakiwa katika kata ya Isuna kijiji cha nkuhi, na kata ya mkiwa walishuhudia zoezi la uandikishaji wa anuani za makazi likiendelea kwa kasi uku wakipata nafasi ya kujibu maswali mbalimbali ya viongozi na wanachi na kutoa elimu ya namna bora ya kuendelea na zoezi hilo katika vijiji na vitongoji vyote vya kata ya isuna na mkiwa
Mpaka sasa wilaya ya Ikungi imefikia asilimia 90 ambapo zaidi ya makazi elfu hamsini-(50,000) yameshaandikishwa kati ya matarajio ya uandikishaji wa makazi elfu hamsini na tano-55,000 kwa wilaya ya ikungi.
0 Comments