Arsenal amaliza raundi ya kwanza kileleni

RAUNDI ya kwanza ya Ligi Kuu England imekamilika wakati Arsenal ikiwa juu ya msimamo wa ligi hiyo kwa pointi 40.

Raundi hiyo imekamilika kwa michezo 18, ambapo raundi ya pili itachezwa michezo yenye idadi hiyo pia.

Liverpool inafuata nafasi ya pili ikiwa na pointi 49, sawa na Aston Villa wakiwa na tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Ligi hiyo itandelea Jumanne hii. Tazama msimamo kamili chini.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments