Simba sasa nafasi ya pili.

BAADA ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wydad Casablanca, Simba imesogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mabao ya Simba yamefungwa na Willy Onana katika kipindi cha kwanza.

Ushindi huo umeisogeza Simba nafasi ya pili ikiwa na pointi 5, huku Asec Mimosas akiongoza kwa pointi 7.

Asec ataingia uwanjani usiku huu kuvaana na Jwaneng galaxy

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments