Aliewindwa na Singida FG kuibukia Tabora United

Klabu ya ihefu Fc ipo katika hatua za mwisho kukamilisha Usajili wa kiungo wa ushambuliaji raia wa Congo DR Manus Bola.

Hapo awali alihisishwa kujiunga na klabu ya Singida Fountain gate ila kutokana na katazo la kusajili kutoka FIFA sasa Winga huyo anakaribia kumalizana na Viongozi wa Ihefu.

Huenda kabla ya juma hili kuisha akatambulishwa.

VIDEO: MVUA KUBWA YALETA MAFURIKO JIJINI MWANZA

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments