“Tangu umeingia wewe katika nafasi ya Uenezi ya CCM Taifa hakika umeweka hamasa kubwa katika chama chetu, umeamsha mizi ambayo ilikuwa imelala na sasa imemka na kuchangamka, kazi inafanyika na umeiweza kwelikweli hakika unastahili pongezi “ - Sumaye
#HABARI: Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amewataka Wataalam wa Halmashauri, Taaisi na Idara mbalimbali Serikalini kutambua kwamba neema ya maisha yao imetokana na Wananchi - https://t.co/wDo3dkHksL pic.twitter.com/VU26YwqA0z
— Bandola Media (@bandolamediatz) January 25, 2024
#VIDEO: Wananchi Mkoani Singida Wametakiwa Kuendelea Kutoa Taarifa Kwa Jeshi La Polisi
#HABARI: Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Cuthbet Sendiga amekabidhi hundi ya shilingi milioni nne na laki tisa kwa Odilia Mkama ikiwa ni malipo yake kwa huduma ya chakula aliyokuwa anaitoa kwenye shule ya sekondari Dareda. pic.twitter.com/I2UEJ4mbTq
— Bandola Media (@bandolamediatz) January 25, 2024
0 Comments