Simba wamnasa mshambuliaji kutoka Gambia

MTANDAO: SIMBA SC imetangaza kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji, Pa Omar Jobe (25) kwa kandarasi ya miaka miwili.

Taarifa hiyo imechapishwa leo na mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

Raia huyo wa Gambia amejiunga na Simba SC akitokea Zhenis FC yenye maskani yake Makao Makuu ya Nchi ya Kazakhstan, Astana.

Jobe anatarajiwa kuwa dawa ya kutibu changamoto ya ufungaji klabuni humo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments