KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZUNGUMZA NA WATUMISHI ,AIHIMIZA KUJITUMA,WELEDI


Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maji, katika kikao kilichofanyika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Mhandisi Mwajuma ametumia kikao hicho kuwataka watumishi kujitoa kwa upendo katika kazi na kutumia weledi ili kufanikisha huduma ya maji kwa jamii.



TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments