Yanga yapewa Mamelod, Simba dhidi ya Al-Ahly

SIMBA imepangwa kukutana na Al-Ahly ya Misri wakati Yanga ikiangukia mikononi mwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika michezo yao ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.

Timu zitaanzia nyumbani, mechi zitachezwa kati ya Machi 29-31 na kurudiana kati ya Aprili 5-7, 2024.

ROBO FAINALI

Simba SC vs Al Ahly

TP Mazembe vs Petro Atletico

Esperance vs ASEC Mimosas

Yanga SC vs Mamelodi Sundowns

NUSU FAINALI

Esperance/ASEC vs Yanga/Mamelodi

TP Mazembe/Petro Atletico vs Simba/Al Ahly

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments