WAKUU WA TAASISI ZA HAKI JINAI WAKUTANA NA TUME YA HAKI JINAI NCHINI, JIJINI DODOMA

TUME ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti wake Jaji Mkuu Mstaafu, Mohamed Othman Chande mapema leo Mei 20, 2024 jijini Dodoma, imekutana kwa mazungumzo na Wakuu wa Taasisi za Haki Jinai akiwemo Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, CGP Mzee Ramadhani Nyamka.
Wakuu wa Taasisi za Haki Jinai wakifuatilia mazungumzo katika kikao cha Tume ya Haki Jinai, Leo Mei 20, 2024 Jijini Dodoma. Pichani katikati ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, CGP Mzee Ramadhani Nyamka. Kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania, CGI Anna Makakala. Kushoto ni Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura. Picha zote na Jeshi la Magereza.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments