MAKAMU WA RAIS AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Igunga wakati akianza Ziara ya Kikazi mkoani Tabora leo tarehe 08 Oktoba 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Chacha wakati alipowasili Wilaya ya Igunga katika kuanza ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Tabora leo tarehe 08 Oktoba 2024.


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments