MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI WA DK. SAMIA KUWEKA KAMBI SINGIDA.

                                           
                       
Madaktari Bingwa na Bobezi wa Dk.SAMIA SULUHU HASSAN wapatao 104 wataweka kambi katika Mkoa wa Singida katika Kliniki Tembezi kwa ajili ya kutoa huduma za matibabu kwa wananchi wanaokabiliwa na magonjwa mbalimbali.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments