Tukuio la kumuezi shujaa Liti Kidanka nitukio kubwa kwa mkoa wa Singida,...

                     

Kaului hiyo imesemwa na Yohana Msita Mnec wa mkoa wa Singida wakati wa matembezi ya utali wa ndani ulioanzishwa na mkuu wa mkoa wa Sinmgida Bi Halima Dendego wakati wa kuelekea Mei Mosi.

Msita ameeleza kuwa mkuu wa mkoa wa Singida  ameuheshimisha mkoa wa  na kuendelea kuupa heshima ndani na nje ya nchi kwa kuendelea kubuni  vitu mbali mbali ndani ya mkoa hasa vya kihistoria.

 

Aidha Mnec amesema kuwa historia nikitu kikubwa kawa mawanandani kwajili ya kujifunza na kuendelea kudumisha mila na desturi zetu.


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments