WANAMICHEZO WAMPA KONGOLE MKUU WA MKOA SINGIDA HALIMA DENDEGO KUELEKEA M...

                     
Kongole nyingi zikatolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida HALIMA DENDEGO kwa kuweka mazingira rafiki kwa wageni ikiwa ni pamoja na kuimarishwa kwa usalama na huduma za afya, na kusababisha watumishi waliopo mkoani hapo kufanya michezo yao kwa amani na utulivu.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments