WANANCHI WAMETAKIWA KUMUNGA MKONO RAIS DR.SAMIA SULUHU KWA KULETA MAEND...



                  
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu PATROBAS KATAMBI amewataka wananchi kumuunga mkono Rais Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kwa kuleta maendeleo katika Sekta ya Afya kwa kuleta Vifaa, Wauguzi na Madaktari Bingwa ili kuondoa changamoto zilizokuwepo kwenye Sekta ya Afya.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments