Samia aongoza maadhimisho Mei Mosi kitaifa


 Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na Makamu wa Rais Dk Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Mashaka Biteko, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson pamoja na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) Tumaini Nyamhokya wakiimba Wimbo wa Mshikamano (Solidarity Forever) kwenye Maadhimisho ya Siku wa Wafanyakazi Duniani Mei Mosi. Sherehe hizo zimefanyika kitaifa katika uwanja wa Bombadia Mkoani Singida leo Mei 01.(Picha na Ikulu)

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments