MWENGE WA UHURU KUANZA KUKIMBIZWA LEO WILAYANI MWANGA.

 



MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni(kulia) akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa wilaya ya Mwanga, Rukia Zuberi (kushoto) katika uwanja wa soko la Mgagao leo tayari kwa kukimbizwa wilayani Mwanga.

Ukiwa wilayani Mwanga Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kilomita 237 na kutembea miradi nane yenye thamani ya Bilioni 1.9.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments