Familia ya mume, mke na watoto wasioona wasiojutia maisha MONDAY FEBRUARY 22 2021

Busega. Suzana Ndekeja na Josiah Athumani ni wanandoa wenye historia ya kipekee maishani.

Kwanza wao wenyewe wana ulemavu wa kutoona, lakini hata watoto wao watatu kati ya wanne nao wana ulemavu huo.

Hata hivyo, mtoto wa nne wa wakazi hawa wa kijiji cha Kalemela-Mayega Wilaya ya Busega mkoani Simiyu, japo anaona, lakini anasumbuliwa na ugonjwa wa akili.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments