FT: Biashara United 0-1 Simba
Zinaongezwa dakika 4
Dakika ya 90 Chama anapeleka mashambulizi Biashara United
Dakika ya 86 Kapombe anapewa huduma ya Kwanza baada ya kuanguka vibaya wakati akiokoa hatari
Dakika ya 85 Mangalo anaokoa hatari ndani ya 18
Dakika ya 81, Mangalo anajifunga ila Meddie Kagere alikuwa ameotea hivyo hakuna goaaal
Dakika ya 80 anatolewa akiwa Kwenye Kwenye nafasi yake inachukuliwa na Dilunga
Dakika ya 78 Morrison anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 74 Lwanga anapewa huduma ya kwanza na kadi njano
Dakika ya 69 Chama anaingia Ndemla anatoka
Dakika ya 68 Makoba Baraka anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Morrison
Dakika ya 63 Kapombe anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 62 Kabeja anaingia anatoka Zigah kea Biashara United
Dakika ya 60 Onyango anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 60 Manula anaokoa hatari
Dakika ya 58 Tshabalala anaingia anatoka Gadiel
Dakika ya 57 Wawa anaokoa hatari, Morrison anakosa nafasi ya wazi ndani ya 18
Dakika ya 54 Morrison anacheza faulo
Dakika y 51 Manula anaokoa hatari ndani ya 18
Dakika ya 50 Tariq anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 48 Gadiel anajaza majalo linaokolewa
Dakika ya 46 Lwanga anaokoa hatari
Dakika ya 45 Onyango anaanua majalo
UWANJA wa Karume, MaraMchezo wa Ligi Kuu Bara, kipindi cha kwanza
Kipindi cha pili kimeanza
Mapumziko
Uwanja wa Karume, Mara
Biashara United 0-1 Simba
Dakika 3 zinaongezwa
Dakika ya 45 Kapombe anapeleka mashambulizi kwa Biashara United
Dakika ya 44 Perfect Chikwende anapaisha mpira juu akiwa ndani ya 18
Dakika ya 42 Wawa anacheza faulo, Biashara wanaanzisha mashambulizi kwenda kwa Manula
Dakika ya 38 Chikwenda anampiga kiwiko mchezaji wa Biashara United
Dakika ya 35 Deogratius Judika anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea rafu Onyango
Dakika ya 33 Lwanga anamchezea faulo mchezaji wa Biashara United
Dakika ya 32 Chikwende anachezewa faulo na Isihaka
Dakika ya 30 Mchezani wa Biashara United anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 28, Manula anatuliza moira gambani
Dakika ya 22 Goaaaaal Morrison
Dakika ya 21 Morrison anachezewa faulo
Dakika ya 18 Chikwende anapokwa mpira na nyota wa Biashara United
Dakika ya 16 Biashara United wanapeleka mashambulizi kwa Manula, mchezaji wa Simba Shomari Kapombe anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 14 Meddie Kagere anacheza faulo
Dakika ya 13 Lenny Kissu anafanya jaribio linaokolewa
Dakika ya 10 Morrison anapiga kona haileti matunda
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments