NZIGE WAZIDI KUDHIBITIWA WILAYANI LONGIDO

Arusha. Maofisa wa Wizara ya Kilimo kitengo cha kudhibiti nzige wanaendelea na jitihada za kuwadhibiti wadudu hao wasiendelee kula mazao wilayani Longido Mkoa wa Arusha.

Akizungumza  mkuu wa Wilaya hiyo, Frank Mwaisumbe amesema  watendaji wa wizara hiyo walifika tangu jana usiku kwa ajili ya kuendesha shughuli ya kuwafuatilia wadudu hao waharibifu wa mazao.

Walifika jana na wameanza kazi na nzige wengi wameelekea eneo la West Kilimanjaro baada ya kuondoka maeneo ya Namanga mpakani mwa Kenya na Tanzania,” amesema.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments