RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

 

LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili unaendelea ndani ya uwanja kwa timu kusaka pointi tatu.

Ikiwa leo ni Februari 18 ratiba inakwenda namna hii:-

JKT Tanzania v Polisi Tanzania, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Biashara United v Simba, Uwanja wa Karume, Mara.

Azam FC v Mbeya City, Uwanja wa Azam Complex.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments