SIMBA YATINGA MAKAO MAKUU,DODOMA,KUIBUKIA BUNGENI

 


 
KIKOSI cha Simba kinachonole na Kocha Mkuu, Didier Gomes na msaidizi wake Seleman Matola leo kimewasili salama makao makuu ya nchi Dodoma.


Jana wachezaji walilipoti kambini baada ya kupewa mapumziko ya siku moja baada ya kukamilisha kusepa na taji la Simba Super Cup Januari 31, Uwanja wa Mkapa.


Leo watakwenda pia Bungeni kwa ajili ya kupewa baraka na Wabunge kuelekea Kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Februari 12 kitacheza na AS Vita ya Congo.


Kesho Uwanja wa Jamhuri Dodoma kitakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments