WANAWAKE WAMETAKIWA KUJISIMAMIA KATIKA SHUGHULI MBALI KATIKA JAMII NA TAIFA KWA UJUMLA

Wanawake wametakiwa kujisimamia katika suhughuli mbali mbali katika jamii na taifa kwa ujumla 

Kauli Hiyo  imesemwa na alikuwa mgombea wa Ubunge Viti Malum Kuupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida Bi Warda Nkhangaa wakati akizungumza na Bandola Tz..com leo wakati akiendelea na shuhuli zake za kibiasha Jijini Der-es- Salam.

Aidha Bi Warda ameeleza kuwa wakati tunaelekea kusheherekea sikuku ya wapenda nao, wanawake wanatakiwa kusimamia shughuli mbali mbali kwa uadilifu na kuwa mfano bora katika familia na Taifa kwa ujumla.

Bi Warda ameendelea kusema kuwa Mwanamke Bora familia Bora na jamii yenye msimamo kwa Taifa linye uwezo wa kujisimamia. 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments