FIFA WAMPA AHUENI KOCHA YANGA

 

Shilikisho la soka la kimataifa (FIFA), limefuta pingamizi la kutofanya kazi nchini Afrika kusini kwa aliyekuwa kocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael.

Eymael alifikwa na maamuzi hayo kutoka kwa Chama cha soka cha Afrika Kusini (SAFA), mwezi Julai mwaka jana. 

Kutokana na kauli hiyo, Yanga walisitisha mkataba wa kocha huyo na kutakiwa kuondoka nchini haraka, jambo ambalo alilitekeleza huku mashauri mengine yakibaki kuwa chini ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF).


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments