CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MKOANI SINGIDA KINAWAPONGEZA(SIDIFA) KWA KUENDELEZA SOKA MANISPAA

Mwenyekiti wa chama cha mpira Mkoani Singida (SIREFA)Bw. Hamisi Kittila amewapongeza chama cha mpira manispaa ya Singida Kwa Kueendeleza ligi ya Wilaya na yenye ushindani kwa kuzingatia sheria za mchezo wa mpira wa miguu.

Bw. Kttila ameendelea kusema Umoja ni Nguvu  kwani ushirikiano anaoendelea kupata kutoka kwa viongozi mbali mbali wa chama na serikali ndio chachu kubwa ya kufanya vizuri kwa mkoa wa Singida  na Taifa kwa ujumla.

Pia ameshukulu serikali ya mkoa wa Singida Kupitia maafisa michezo kwa ushirikiano wanaendelea kutoa ilikuendeleza michezo mkoani Singida

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments