KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA DODOMA JIJI, AJIBU BENCHI

KIKOSI cha Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes, raia wa Ufaransa leo kina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji, mchezo utakaochezwa Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 usiku.

Hiki hapa kikosi kinachotarajiwa kuanza huku kiungo mzawa Ibrahim Ajibu akisugua benchi kusoma ramani ya mchezo itakavyokuwa:- 

Aishi Manula

Shomari Kapombe

Mohamed Hussein

Keneddy Juma

Wawa Pascal

Nyoni Erasto

Bwalya Rarry

Mzamiru Yassin

Mugalu Chris

Chama Clatous

Luis Miquissone 


Akiba

Beno Kakolanya

Meddie Kagere

John Bocco

Ibrahim Ajibu

Ibrahim Ame

Jonas Mkude 

Bernard Morrison

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments