BUMBULI AMESEMA YEYE HAWEZI FANYA KAZI SIMBA


 Mkuu wa Kitengo cha Habari wa Yanga Bw. Hassani Bumbuli amesema yeye hawezi fanya Kazi Simba kwani tangu mtoto alikuwa anapenda Yanga.

Kauli Imekuja baada ya alikuwa msemaji wa Simba Bw Manara kuhumia Yanga na Jana kutambulishwa rasmi kuwa katika timu ya Yanga

Bw. Hassani Bumbuli ameendelea kusema  kuwa hata kama atapewa pesa nyingi kuliko anazo lipwa sasa yeye hayuko tayali kufanya kazi na Simba.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments