MIGOGORO AMBAYO HAINA TIJA HAITAKIWI KATIKA KAZI MBALI MBALI NCHINI TANZANIA

Watanzania Wametakiwa kutokuwa na Migogoro katika Jamii kwenye Maeneo Mbali Mbali, ilikufanya kazi kwa umoja na kuwa na Uzalishaji wenye Tija Katika jamii na taifa kwa Ujumla.

 

Kauli hiyo  Imesemwa Na Raisi wa Shilikisho La Wachimbaji Wadogo Wadogo  Tanzania Bw.Johni Bina Wakati wa Ziara yake  ya kutembelea migodi ya wachimbaji madini Mkoani Singida.

Raisi Bina amesama Kuwa Raisi wa Jamuhuri ya Mungano Wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan ,Ameeleza  kuwa wachimbaji wasibuguthiwe Katika  Kazi zao Za Uchimbaji hapa Nchini.

 Aidha Raisi Bina ameendelea Kusema Kuwa Mabenk yote yamekaa sawa Kwa Kuwakopesha Wachimbaji Wadogo Wadogo  baada ya maelekezo kutoka kwa Raisi wa Jamuhuli ya Mungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani.


 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments