NYOTA HAWA 12 WAPIGWA CHINI COASTAL UNION, MBISSA ATAMBULISHWA

 

WAKATI wakimtambulisha Mussa Mbissa kuwa kipa wao ndani ya kikosi cha Coastal Union ya Tanga itakayokuwa chini ya Kocha Mkuu, Melis Medo wote wakiwa wamesaini madili ya miaka miwili nyota 12 wamepigwa chini mazima.

Taarifa rasmi iliyotolewa na Coastal Union imewataja nyota hao kuwa ni:-

Adil Nasor

Ayoub Masoud

Mudhathir Abdalah

Hassan Kibailo

Salum Ally Salum

Peter Mwangosi

Seif Bihaki

Hussein Abel

Muhidin Mbuki

Nelson Haule

Christopher Edward

Issa Yusuph

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments