
HATIMAYE baada ya mchezo wa ufunguzi wa Ngao ya Jamii kati ya Simba v Yanga kukamilika sasa leo Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza rasmi kutimua vumbi.Ikumbukwe kwamba ubao wa Uwanja wa Mkapa, Septemba 25 ulisoma Simba 0-1 Yanga baada ya dakika 90 kukamilika ambapo ni bao la Fiston Mayele alipachika dk 10 lilikuwa ni bao la ushindi.
Leo Septemba 27 ratiba ipo namna hii:-
Mtibwa Sugar v Mbeya Kwanza itakuwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Namungo v Geita, Uwanja wa Ilulu.
Coastal Union v Azam FC, Mkwakwani.
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments