KITITIMO .FC NA NYUKI .FC ZA CHOSHANA NGUVU LIGI YA MKOA SINGIDA (NIMUEENDELEZO WA LIGI HIYO)

Tukutane kesho katika viwanja viwili Bombadia na Liti  Zamani Namfua

Katika Dimba La Bombadia zamani Peoples kutakuwa mechi katika ya 

Singida Claster V/S Home Boys Fc

Na Katika Dimba la Liti zamani Namfua itakuwa kati

Puma Fc V/S Nem Fc

micheze yote itaanza saa kumi kamili alasili

                                    Na   bandolamedia.co.tz
 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments