LIGI DARAJA LA TATU MKOANI SINGIDA KUENDELEA TENA LEO BAADA YA MAPUMZIKO YA SIKU MMOJA


 Baada ya siku mmoja ya mapunziiko ligi daraja la tatu mkoani Singida Kuendelea leo katika viwanja viwili .

Liti(Zamani Namfua) Manyoni Fc V/S Galaxy Fc

Bombadia (zamani Peoples) Home Boys Fc V/S Nem Fc

Mechi Zote Kuanza saa Kumi Kamili Alasili (TWENZETU TUKAONE VIPAJI KUTOKA KANDA YA KATI)

                                           Na bandolamedia.co.tz

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments