LIGI DARAJA LA TATU YA PAMBA MOTO MKOANI SINGIDA,MANYONI SC V/S NAM FC TAREHE 30/09/2021 KATIKA DIMBA LA LITI ZAMANI NAMFUA

 Watoto Wa Mjini Misuna Warriors Wamekubali kichapo cha mabao matano kwa bila kutoka kwa Singida Claster mchezo una ufuata ni Bingwa wa Ngao ya Jamii Manyoni Sc dhidi ya Nem Fc mchezo utakao Pigwa katika Dimba ,La Liti Zamani Namfua muda Ni Saa Kumi Kali Alasiri ,Tarehe 30/O9/2021

Na bandolamedia.co.tz

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments