LIGI YA MKOA SINGIDA KUENDELEA TENA LEO KATIKA DIMBA LA BOMBADIA ZAMANI PEOPLES

Leo kutakuwa na mchezo mmoja ambao Watoto wa mjini Singida Claster V/S Puma Fc Kutoka Wilayani Ikungi Mkoani ,Mchezo huo utapigwa katika dimba la Bombadia zamani Peoples.
Twenzetu Bombadia tukacheki pasi kutoka kwa mafundi wa Ikungi wakipambana na Watoto wa Mjini Singida.

                                                       bandolamedia.co.tz

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments