MAANDALIZI YA KUCHEZA HATUA YA NNE BORA KATIKA LIGI YA MKOA SINGIDA YEMEPAMBA MOTO

Afisa Habari na msemaji  wa chama cha mpira mkoa wa Singida Bw.Abdul Bandola alipatafulusa kutembelea na kuona mazoezi ya  Manyoni Sc katika Uwanja Wa Jumbe na baada ya mazoezi aliweza kuzungumza na mwalimu wa timu Hiyo . 
Picha Afisa Habari(SIREFA) na Kocha wa Manyoni Sc Wakiwa na Badhi ya Wachezaji Wa Timu Hiyo 
Wachezaji Wa Manyoni Sc na Afisa Habari Wa (SIREFA) Katika Dimba la Jumbe Manyoni

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments