MADACTARI BINGWA WILAYANI MANYONI MKOANI SINGIDA NI TAREHE 25 NA 26 MWEZI HUU WATAKUWA ZENER D DESPENSARY


Hospitali ya Zener D Iliyopo Stendi Ya Shimoni Wilayani Manyoni Mkoani Singida Inapenda Kukutangazia  kuwa tarehe 25 na 26 ya mwezi wa  tisa mwaka huu,  watakuepo Madactari Bingwa Kutoka  Hospitali ya Muhimbili na Benjamini Mkapa.

Ni Madactari Bingwa wa Magonjwa  ya Aikina Mama ,Watoto,Meno,Sikio,Pua Na Kinywa(Koo), Gharama za kuwaona  Madactari ni Shilingi 2000|= Tu,

Kupima Presha na Kisukari ni Bure.

Karibu Kwa Ushauri  Na Tiba.

Kwa Mawasiliano:Piga No 0654756373

               Na bandolamedia.co.tz

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments