MWENDELEZO WA LIGI YA MKOA SINGIDA KATIKA VIWANJA VIWILI BOMBADIA NAKATIKA DIMBA LA LITI ZAMANI NAMFUA

Leo kutakuwa na michezo miwili katika dimba la Liti Kutakuwa na mchezo Mtamaa Fc V/S Puma Fc
Na Katika dimba la bombadia zamani Peoples kutakuwa na mchezo Leylembwe Fc V/S Arena Fc 

Na haya ni matokeo ya Jana katika Dimba La Bombadia kulikukwa na amchezo wa kukata na shoka kati Bufalo Fc  V/S Nyuki Fc , Bufalo Fc walifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao  5 kwa 1 

Mabao ya Bufalo Fc  yalifungwa na 

Shabani alifanikiwa kufunga mabao 2

Yohana Msita golikipa bao 1 kwa mkwaju wa penalti

Domi Straiker Bao Mmoja

Medy Full Back Bao Mmoja baada ya Kupiga Kona Na kuingia Nyavuni.


MAZINGATIO:

*Klabu zifike saa moja kabla ya Mchezo.

*Kikao cha kitaalamu kitafanyika saa 4:00 Asubuhi kila siku ya mchezo ofisi za SIREFA wanao paswa kuhudhulia ni Meneja,Kocha,Daktari , Mchua Misuri,, Na Mtunza Vifaa.

* Kuchelewa kwa klabu mchezoni ni Faini

*Kutokuhudhuria Pre match meeting ni Faiini

*Clabu zote ziwe na makocha wa wakuu wenye vyeti vya awali au zaidi.

*Dirisha Dogo itakuwa tarehe 20-09-2021 na Gharama ya kila mchezaji anayeongezwa ni shilingi 5,000tu.

                             bandolamedia.co.tz



 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments