PICHA MBALI MBALI ZA VIONGOZI, WANANCHI ,WANASIMBA WALIVYOJITOKEZA KUMUAGA HANS POPPE VIWANJA VYA KARIMJEE LEO JIJINI

 


Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO), Barbara Gonzalez akisaini kitabu cha maombolezo baada ya kuwasili kwenye ibada ya kuaga mwili wa marehemu Zacharia Hans Poppe katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam.







Baadhi ya wananchi wakiwepo wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, menejimenti ya Simba na mashabiki wakisaini kitabu cha maombolezo baada ya kuwasili kwenye ibada ya kuaga mwili wa marehemu Zacharia Hans Poppe katika viwanja vya Karimjee. 















TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments