
Timu zilizofanikiwa kutinga hatua ya Nne Bora Katika Ligi Ya Mkoa Singida Msimu Wa 2021/2022 Ni kutoka Kundi A"Singida Cluster Fc
Kutoka Kundi B" Manyoni SC
Kutoka Kundi C"Misuna WARRIORS FC
Best Looser Nem Fc
Chama cha mpia mkoa wa Singida Kina watakia maandalizi mema
Na bandolamedia.co.tz
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments