Ligi daraja la tatu mkoani Singida imeanza kwa kuzikutanisha Timu nne katika viwanja vya Liti na Bombadia mkoani Singida Katika kiwanja cha Namfua kulikuwa na timu ya Singida Claster na Mtamaa Fc matokea Singida claster 4-Mtaa Fc 0 na Katika kiwanja cha Bombadia Puma Fc 0-Home boys Fc
Kikoso cha Singida Claster 

Waamuzi wakiongea na capteni wa Claster na mtamaa fc
Benchi la ufundi kwa Upande wa timu ya Singida Claster
Ligi hiyo itandelea leo kwa kuzitanisha Katika Dimba La Liti Manyoni Sc. na Arena Fc na katika dimba la Bombadia Leylembwe Fc Galaxy Fc.
0 Comments