TUKUTANE BOMBADIA ZAMANI (PEOPLES) LIGI YA MKOA SINGDA YAPAMBA MOTO

matokeo ya tarehe 8 /09/2021 katika dimba la Bombadia  Nem Fc 4 Mtamaa Fc 0 
Tukutane Siku Ya tarehe 9//O9/2021 Katika dimba la Bombadia Singida Claster watamenyana na Puma Fc katika dimba la Bombadia  na tutakuwa na mechi mmoja tu katika siku hiyo.muda ni saa kumi kamili alasili.

 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments