Singida Cluster watakuwa wenyeji wa Missuna Worriors katika mchezo wa leo utakao chezwa katika dimba la Liti Zamani Namfua
Muda Wa mchezo utaanza saa kumi kamili alasiri na maadalizi ya mchezo yamekamilika baada ya pande zote kufika na kukubaliana kwa kuzingatia kanuni katika kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za chama cha mpira mkoa Wa Singida (SIREFA)
Na bandolamedia.co.tz
0 Comments