Singida Cluster watakuwa wenyeji wa Missuna Worriors katika mchezo wa leo utakao chezwa katika dimba la Liti Zamani NamfuaMuda Wa mchezo utaanza saa kumi kamili alasiri na maadalizi ya mchezo yamekamilika baada ya pande zote kufika na kukubaliana kwa kuzingatia kanuni katika kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za chama cha mpira mkoa Wa Singida (SIREFA)
Na bandolamedia.co.tz
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments