DR.DENIS NYIRAHA AENDELEA KUSAKA KURA ZA CCM KATIKA JIMBO LA USHETU MKOA...

Picha Na Dix UVCCM Taifa.
Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Singida Dr. Denis Nyeraha Akishilikiana na Kamati Tendaji ya Uvccm Taifa kuendelea kusaka kura za chama cha mapinduzi CCM Katika Jimbo la Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga.
Tazama picha za  Kamati Tendaji ya Umoja wa Vijana wa  CCM   Taifa wa wakiendelea kutoa sera na kumnadi Mbunge wa CCM Katika Jimbo La Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga

                     Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
                   Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
                Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
                 Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
                Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
              
                 Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM

                Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
               Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
               Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
                Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
             Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
           Picha Na Dix Makao Makuu UVCCM
Dr. Denis na Kamati tendaji ya UVCCM Taifa Wameendelea kupita Mtaa kwa mtaa  Katika Jimbo la  Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wakiendelea kutoa sera na kuelezea vitu mbali mbali vilivyopo kwenye ilani ya chama cha Mapinduzi CCM  Na vilikwisha fanyika katika maeneo mbali mbali katika Jamii.
 Na Mwandishi Wetu Abdul B Ramadhani

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments