MITANDAO YA WHATSAPP, INSTAGRAM NA FACEBOOK YAZIMWA GHAFLA


Watumiaji wa Mitandao ya Facebook,Instagram na WhatsApp maeneo mbalimbali duniani wamekumbwa na changamoto ya kutofikia huduma kuanzia majira ya saa 12 jioni ya Oktoba 4,2021 ambapo baadhi yao wamejikuta wakiongeza salio la data/MB wakidhani bando limeisha kumbe la!

Hata hivyo Kampuni ya Facebook imethibitisha kwamba Mitandao yake ya Facebook,Instagram na WhatsApp imepata tatizo na kufanya baadhi ya Watumiaji kushindwa kufanya chochote kwenye Account zao, kwenye taarifa yao wameomba radhi na wamesema wako kazini kulitatua tatizo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments