Rais Kuleta Fedha Ni Kipimo Cha Uwajibikaji Na Uzalendo Wake KwaWananchi.

                     
 Mwenyekiti Wa Uvccm(M) Singida Cde. Dr. Denis Nyiraha Na Kamat Ya Utekelezaji Ameendelea Na ZiaraKatika Wilaya Ya Mkalama Katika Kata Ya Nduguti Ambapo Amekabidhi Nondo 10 Zenye Thamani Ya 280,000 Kwaajili Ya Kufunga Lenta Kwenye Nyumba Ya Katibu Uvccm (W) Kisha Kata Ya Nkalankala Ambapo Amekagua Mradi Wa Vijana Wanufaika Wa 4% Za Halmashauri Waliopewa 5,000,000 Kwaajili Ya Ufugaji Wa Ngombe Wa Nyama Na Kutembelea Miradi Minne Ya Serikali.  
Mwenyekiti Alihitimisha Ziara Wilayani Mkalama Kata Ya Nkito Kwa Kufanya Mkutano Wa Hadhara Na Kuwaeleza Wananchi Mchanganuo Wa Mgao Tshs. 2.7b Zilizopelekwa Na Mh. Rais Samia Hassan,,,, Mwenyekiti Amewambia Huu Ni Mwanzo Wa Msimu Wa Mvua Ya Maendeleo Toka Kwa Serikali Ya Ccm Ikiongozwa Na Mh. Samia S. Hassan  
 
                         

                

                  

                    

                   

                   

               

                  

                

Na Bandolamedia.co.tz



TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments